February 11, 2015

 Real Madrid imetenga kitita cha pauni milioni 328 ili kuukarabati kwa kuutanua na kuufanya wa kisasa zaidi Uwanja wake wa Santiago Bernabéu.

Rais wa Madrid, Florentino Perez ameonyesha michoro ya uwanja huo itaoufanya kuwa uwanja bora zaidi duniani.

Project hiyo inatarajia kuwa ya miaka mitatu na itauongezea uwanja huo uwezo wa kuchukua watu kutoka 85,454 hadi 90,000.

 Uwanja huo utakuwa na uwezo wa kujifunga na kujifungua kwa juu.

Madrid ndiyo klabu namba moja kwa utajiri duniani.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic