October 24, 2016



Mshambuliaji mpya wa Fanja ya Oman, Mrisho Ngassa ameanza kuonyesha makali yake baada ya kuifungia timu yake bao katika mechi iliyochezwa mwishoni mwa wiki iliyopita.

Ngassa aliyewahi kuzichezea Yanga na Simba kwa vipindi tofauti, alifunga bao hilo akisawazisha baada ya Fanja kuwa nyuma dhidi ya Al Nah kwa bao moja, hivyo kufanya matokeo kuwa.

Hata hivyo mechi hiyo ilisha kwa sare ya mabao 2-2 lakini Ngassa akawa ameonyesha uhai mkubwa katika kikosi hicho.


Mtanzania huyo amejiunga na Fanja akitokea Free State Star ya Afrika Kusini aliyoamua kuvunja mkataba.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic