May 22, 2013

Beki wa Taswa akiosha mbele ya bondia wa uzito wa juu, Mchumiatumbo..

Sufian aka Sufiani Mafoto akimfinya mtu mbele ya kadamnasi...

Kipa wa mabondia...dah!

Beki wa kulia wa Taswa FC, Elius Kambili 'Ntu' akiambaa na mpira...

Juma Ramadhani akimthibiti mshambuliaji wa Mabondia

Benchi la Taswa na mwalimu wao Ally Mkongwe mwenye shati nyekundu

Taswa wanapasha, Majuto Omary bonge na mvivu..

Zahoro Mlanzi akitambaa na chaki..

Kikosi cha mauaji cha Taswa FC

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic