May 1, 2013





FULL TIME:
Dk 85-89 hakuna mashambulizi ya maana na timu zinaonekana kuridhika na sare.


Dk 82 shuti kali na nizar la mguu la mguu wa kushoto linagonga mwamba na kipa kado anawahi na kudaka baada ya mpira kurudi uwanjani.


Dk 79 cannavaro anafanya kazi ya ziada kuokoa mpira uliokuwa unaelekea kuvuka mstari baada ya kipa said kutoka langoni na razak kupiga shuti kali.
Dk 72-74 timu zote zinaonekana kuridhika na sare na kupiga pasi nyingi katikati ya uwanja.




Dk 67 anatoka mguli anaingia niyonzima, anatoka bahanuzi anaingia banda.
Dk 66 anatoka kisambale anaingia mahmoud soud upande wa coastal


Dk 63, bahanuzi anainyika Yanga bao baada ya kubaki yeye na kado kutokana na mpira alioutema kipa huyo baada ya shuti kali la nizar
Dk 58 coastal wanashambulia kwa kasi, lakini shuti la mwisho alilopiga selembe linapaa juu ya lango la yanga.

DK 54 kado anafanya kazi ya ziada kuokoa mpira wa kichwa uliokuwa unajaa wavuni baaa ya kupigwa na twite.
Dk 46 kipindi cha pili kimeanza.

HALF TIME:
Dk 42, Oscar anapiga krosi saaafi lakini bahanuzi badala ya kufunga anaokoa.
Dk 31 Lyanga anapiga shuti linapita juu kidogo ya lango la Yanga
Dk 24 Yanga wanafanya shambulizi kali lakini shuti la Bahanuzi linaishia mikononi mwa Kado
GOOOOOO..Dk 4 tegeta anaifungia bao baada ya kupata pasi nzuri ndefu na kukimbia na mpira katika ya uwanja hadi golini, anamchambua Shabani Kado na kufunga.
Dk 1 Pius Kisambale anapoteza nafasi kwa Coastal
YANGA
Said, twite, osacar, cannavaro, yondaninurdin, nizar, domayo, bahanuzi, tegete na abdallah mguli.

COASTAL

Kado, hamad hamis, Philip mugenzi, Othman tamim, yusuf chuma, abdi banda, joseph mahundi, razack khalfan, seleman kassim ‘selembe’, pius kisambale na danny lyanga.
 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic