Fred akiifungia Brazil bao la kuongoza.
Rooney akifunga bao la pili kwa England.
Paulinho akiisawazishia Brazil bao la pili.
Oxlade-Chamberlain akipiga shuti na kuiandikia England bao la kwanza.
Timu za Tiafa za Brazil na Engalnd jana zilishindwa kutambiana baada ya kutoka sare ya mabao 2-2. Mabao ya England yalifungwa na Oxlade-Chamberlain (67) na Rooney (79) wakati ya Brazil yakiwekwa kimiani na Fred (57) pamoja na Paulinho (82). Mechi hiyo ilipigwa katika Uwanja wa Maracana chini Brazil.
0 COMMENTS:
Post a Comment