Yanga imezidi kwenda kasi katika kuelekea katika dirisha dogo la
usajili baada ya kumnasa kiungo nyota wa Ruvu Shooting, Hassan Dilunga.
Yanga imefanikiwa kumnasa kiungo huyo kwa mkataba wa miaka mitatu.
Dilunga ni kati ya viungo wanaochipukia kwa kasi na wengi wamekuwa
wakimfananisha na Mwinyi Kazimoto ambaye sasa anakipiga katika timu ya Al
Markhiya ya Oman.
0 COMMENTS:
Post a Comment