Siku chache baada ya kutua Yanga kwa dau
kubwa la Sh milioni 40, kipa nyota nchini, Juma Kaseja ameonekana akiendesha
baiskeli ya lambalamba ya Azam.
Haijajulikana Kaseja kama alikuwa
anajifurahisha, au ni mtaji uliopatikana kutokana na mamilioni yake aliyopata
kutoka Yanga.
Au aliamua kuitumia kama sehemu ya
mazoezi kabla ya kuanza kazi yake Yanga.
Tunaendelea kumtafuta halafu atatueleza
kinagaubaga…FUATILIA.
0 COMMENTS:
Post a Comment