November 14, 2013



Siku chache baada ya kutua Yanga kwa dau kubwa la Sh milioni 40, kipa nyota nchini, Juma Kaseja ameonekana akiendesha baiskeli ya lambalamba ya Azam.


Haijajulikana Kaseja kama alikuwa anajifurahisha, au ni mtaji uliopatikana kutokana na mamilioni yake aliyopata kutoka Yanga.
Au aliamua kuitumia kama sehemu ya mazoezi kabla ya kuanza kazi yake Yanga.

Tunaendelea kumtafuta halafu atatueleza kinagaubaga…FUATILIA.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic