Hali ya winga nyota wa zamani wa Yanga
na Simba, Edibily Lunyamila si nzuri na amelazwa katika hospitali ya
Mwananyamala jijini Dar.
Lunyamila ambaye kwa sasa ni mchambuzi wa masuala ya soka katika gazeti la CHAMPIONI anasumbuliwa na ugonjwa wa
moyo na taarifa tulizozipata sasa, amewekewa mashine za oxygen kumsaidia
kupumua.
Mdogo wake aitwaye amesema Lunyamila
anaendelea na matibabu ingawa hali yake si nzuri.
EEH MWENYEZI MUNGU TUNAKUOMBA MSAIDIE
APONE HARAKA
0 COMMENTS:
Post a Comment