Desemba 23 mwaka huu ndiyo mwisho wa
kipindi cha pingamizi kwa usajili wa dirisha dogo kwa klabu za Ligi Kuu ya
Vodacom (VPL) na Ligi Daraja la Kwanza (FDL).
Katika
VPL, Kagera Sugar, Mtibwa Sugar na Coastal Union ndiyo timu pekee kati ya 14 za
ligi hiyo ambazo hazikuwasilisha maombi ya usajili katika dirisha dogo.
Ashanti
United ndiyo inayoongoza kwa wachezaji 15 ambao ni Kassim Kilungo, Mohamed
Banka, Bright Obinna, Victor Costa, Juma Mpongo, Juma Jabu, Ally Kondo, Shafii
Rajab, Mohamed Faki, Abubakar Mtiro, Patrick Mhagama, Ally Kabunda, Hassan
Kabuda, Idd Ally na Rahim Abdallah.
Ruvu
Shooting; Ally Khan na Jumanne Khamis, Rhino Rangers; David Siame, John
Kauzeni, Salum Mamlo, Jingo Seleman, Darlington Enyinna, Rajab Twaha, Godfrey
Mobi na Mussa Digubike. Mbeya City; Saad Kipanga. Tanzania Prisons; Dennis
Liwanda, Godfrey Pastory, Henry Mwalugala, Jamal Salum na Brayton Mponzi.
Oljoro
JKT; Jacob Masawe, Mansour Ali, Juma Mohamed, Amour Mohamed, Mohamed Ali, Mussa
Nahoda, Benedict Ngasa, Seleman Makame, Shija Mkina, Ali Omar na Shaweji Yusuf.
Simba; Uhuru Selemani, Ivo Mapunda, Ali Badru, Awadh Juma, Donald Mosoti na Yaw
Berko. Azam; Mouhamed Kone.
Yanga;
Hassan Dilunga, Juma Kaseja na Emmanuel Okwi. Mgambo Shooting; Suleiman Khatib,
Bolly Ajali, Amri Sambinga na Issa Ali. JKT Ruvu; Chacha Marwa, Sino Augustino,
Idd Mbaga na Cecil Luambano.
0 COMMENTS:
Post a Comment