Idadi kubwa ya watu imejitokeza kwenye
Uwanja wa Taifa jijini Dar leo katika mechi ya nani Mtani Jembe inayopigwa
baada ya muda mchache.
Yanga wanaonekana kujiamini zaidi kwa
kuwa wako kwa wingi uwanjani hapa huku Simba wakionekana kuwa wachache ingawa
tofauti haiwezi kuwa 50%.
Shangwe na vurugu za mashabiki kwa
mbaali zimeanza kutokea lakini inaonekana watu wa ulinzi wako makini zaidi.
0 COMMENTS:
Post a Comment