March 7, 2014




Ligi Daraja la Kwanza (FDL) inaendelea wikiendi hii kwa timu za makundi yote matatu kushuka kwenye viwanja tofauti nchini ambapo kesho (Machi 8 mwaka huu) Tessema itacheza na Transit Camp kwenye Uwanja wa Karume, Dar es Salaam.


Kundi B ni Burkina Faso vs Kurugenzi (Jamhuri, Morogoro) wakati C Polisi Tabora vs Mwadui (Ali Hassan Mwinyi), Stand United vs Pamba (Kambarage), Polisi Mara vs Kanembwa JKT (Karume) na Polisi Dodoma vs Toto Africans (Jamhuri, Morogoro).

Mechi za Jumapili ni kundi A, African Lyon vs Polisi Dar (Karume), Villa Squad vs Friends Rangers (Mabatini, Pwani) na Ndanda vs Green Warriors (Nangwanda Sijaona, Mtwara). Kundi B ni Polisi Morogoro vs Majimaji (Jamhuri, Morogoro) na Mlale JKT vs Lipuli (Majimaji, Songea).



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic