July 31, 2014

Chelsea imeichapa Vitesse Arnhem ya Uholanzi kwa mabao 3-1 katika mechi ya kirafiki iliyochezwa.
Lakini mechi hiyo ilikuwa na rekodi kadhaa, mfano Cesc Fabregas akianza kuifungia Chelsea bao la kwanza katika hayo matatu, mabao mengine yalifungwa na Mo Salah, Nemanja Matic.

Diego Costa ambaye alitengeneza mabao yote matatu alitaka kuzichapa uwanjani na beki wa Vitesse, Guram Kashia akimtuhumu kumchezea rafu mbaya kwa makusudi.
Mshambuliaji aliyerejea Chelsea, Didier Drogba aliendelea kubaki kwenye benchi akishuhudia Chelsea ikiendelea na mechi za kirafiki.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic