Mshambuliaji wa Ujerumani ambaye alifunga bao
pekee lililoipa nchi hiyo Kombe la nne la Dunia ameamua kula ‘mibata’ tu.
Gotze alioneakana akiwa kwenye boti ya
kifahari katika ufukwe wa Ibiza akiwa na mpenzi wake, Ann-Kathrin.
Mshambuliaji huyo nyota wa Bayern Munich,
ndiye alifunga bao pekee katika mechi ya fainali dhidi ya Argentina na
Ujerumani kutawazwa mabingwa wapya wa Kombe la Dunia.
















0 COMMENTS:
Post a Comment