July 15, 2014



Bosi wa Simba, Zdravko Logarusic amesema hakutakuwa na mzaha na suala la nidhamu litaendelea kuwa juu.
Loga amesema ameanza kazi jana lakini angependa kuona wachezaji wanajituma kwa kiwango cha juu.
“Suala la nidhamu litaendelea kubaki pale pale, hivyo watu wlaichukulie kwa umuhimu wa juu sana, hakutakuwa na mzaha.
“Nataka watu wanaojituma, wanaotaka kufanikiwa, hiyo ndiyo ninayoihitaji,” alisema Loga ambaye aliifundisha Simba nusu msimu katika msimu uliopita.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic