MAXIMO AKILINDWA NA MABAUSA SABA. |
Kocha Mkuu wa Yanga,
Marcio Maximo, ameonyesha uzalendo baada ya kushuhudia mechi ya robo fainali ya
Kombe la Dunia pamoja na mashabiki na wanachama wa Yanga.
Walinzi mabaunsa
walioshika hasa wapatao saba ndiyo walikuwa wakifanya kazi ya kumlinda maximo
kila alipokuwa akizunguka katika jeng hilo.
Hata hivyo, mabaunsa hao
waliweka utaratibu mzuri wa Maximo kupiga picha na mashabiki wa Yanga waliokuwa
wamejitokeza kwa wingi.
Lakini wakati mwingine
ilikuwa vigumu kumfikia kutokana na ulinzi huo mkali aliokuwa amewekewa.
Yanga imetoa ofa kwa
wanachama na mashabiki wa soka kwenda kuona mechi za michuano ya Kombe la Dunia
kwenye ‘screen’ kubwa zaidi katika Ukanda wa Afrika Mashariki.
0 COMMENTS:
Post a Comment