Mshambuliaji nyota wa Barcelona, Neymar amesema kama asingekuwa
mwanasoka, basi angekuwa mwanamuziki.
“Kweli kabisa kama nisingekuwa mcheza soka, basi ninegkuwa mcheza soka,”
alisema Neymar.
“Sasa siwezi kucheza lakini kuna aina ya muziki ambao ninaupenda na
ninaweza kucheza,” alisema Neymar.
Neymar amekuwa akisifika kutokana na kucheza dansi na mara nyingi
wakati akiwa Santos alikuwa akiingia matatani na klabu yake kutokana na
kukimbia kwenye dansi.
0 COMMENTS:
Post a Comment