August 9, 2014


Kipa Pepe Reina aliyetua Bayern Munich amewaandikia barua mashabiki wa Liverpool kuwaambia kuhusiana na kuondoka kwake, pia amewashukuru kwa kipindi walichofanya kazi pamoja.

Amewaeleza kote walikopita na sasa anaamini ulikuwa umefikia wakati wa kuondoka. Pia kawaeleza mengi na zaidi ni shukurani nyingi na namna maisha yake yalivyokuwa kwenye mji wa Liverpool akiwa pamoja na klabu hiyo.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic