October 3, 2014

MESSI (ALIYEVAA KINYAGO) AKIWA KWENYE KIKOSI CHA WATOTO CHA BARCELONA PAMOJA NA GERRARD PIQUE NA CESC FABREGAS (WALIOZUNGUSHIWA DUARA).

Kocha Arsene Wenger amesema alifanya kila juhudi kumsajili mshambuliaji Lionel Messi akiwa na umri wa miaka 16.

Anasema makubaliano na Barcelona yalikuwa safi kabisa, lakini tatizo likawa ni uhamiaji.
Uhamiaji ya England iliweka ugumu, hiyo ilikuwa mwaka 2003.
Hali hiyo ilitokana na Messi kutokuwa na uraia wan chi yoyote ya Ulaya. Hali hiyo ikasumbua kibali cha kufanyia kazi nchini England licha ya kwamba alikuwa tayari kwenda kufanya kazi London.
Mwaka 2006, Messi ndiye akawa raia wa Hispania, huenda ingekuwa lahisi kwake kujiunga na Arseb,nal.

Wakati huo, Messi alikuwa kwenye kikosi cha vijana pamoja na Cesc Fabregas na Gerard Pique.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic