October 9, 2014


Bondia nyota duniani, Floyd Mayweather amesema baba yake amekuwa akimueleza apigane na Mwingereza Amir Khan na kumziba mdomo.

Mayweather ana matumaini makubwa kutakuwa na pambano kati yake na Khan raia wa Uingereza.

Baada ya Mayweather  kumpiga Marcos Maidana kwa mara ya pili, swali limekuwa atapigana na nani.
Mani Paquiao na Khan ndiyo walikuwa wakipewa nafasi ya kuzichapa na mkali huyo.
Hata hivyo inaonekana Khan ndiye ameshinda nafasi hiyo ya kucheza na Mayweather  ambaye amepigana mara 47 bila ya kupoteza.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic