MTIBWA SUGAR |
Mbeya City imekiona cha
moto baada ya kuchapwa mabao 2-0 nyumbani kwao Sokoine mjini Mbeya.
Mtibwa Sugar wameendeleza
wimbi la ushindi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao hayo mawili ugenini.
Wafungaji ni Ali Amer na
mkongwe Vicent Barnabas.
Kwa ushindi huo, tayari
Mtibwa Sugar imezifunga timu kubwa mbili, ikianza na Yanga wakati wa ufunguzi
wa ligi iliyoishinda kwa mabao 2-0.
0 COMMENTS:
Post a Comment