Picha ya viungo wa zamani wa Arsenal, Patrick Vieira na Roy Keane
wa Manchester United wakiwa pamoja, wanazungumza na kutabasamu wakati wa
uchambuzi kwenye runinga, ndiyo imeangaliwa zaidi ndani ya mwezi mmoja.
Wawili hao walikuwa wakijulikana kwa kupambana hata kushikana
wakitaka kuzichapa wakati wakiwa manahodha wa Arsenal na Manchester United.
Lakini picha hiyo ilionyesha mambo tofauti kabisa, hivyo kuwafurahisha
wengi.
KEANE
Umri: 43
Nchi: Jamhuri ya Ireland
Nafasi: Centre midfield
Klabu: Cobh Ramblers, Nottingham
Forest, Manchester United, Celtic.
Mataji aliyoshinda: 7x Premier Leagues titles, 4x FA Cups, 1x Champions League, 1x
Intercontinental Cup, 1x Scottish Premier League, 1x Scottish League Cup.
Mechi timu ya taifa: 67
Akiwa Kocha: 1x Championship title.
VIEIRA:
Umri: 38
Nchi: Ufaransa
Nafasi: Centre midfield
Klabu: Cannes, AC Milan, Arsenal, Juventus, Inter Milan, Manchester
City.
Major Honours: 3x Premier Leagues titles, 5x FA Cups, 5x
Serie A titles.
Mechi timu ya taifa: 107
Makombe timu ya taifa: 1x World Cup, 1x European Championship, 1x
Confederations Cup.









0 COMMENTS:
Post a Comment