Ile rekodi ya mechi 38 bila kufungwa
waliyokuwa nayo Azam FC kwenye Ligi Kuu Bara, sasa kwishney baada ya kufungwa
bao 1-0 na JKT Ruvu.
Mechi hiyo imechezwa kwenye Uwanja wa ChamziChamaziLicha ya kuonyesha soka safi na kulisakama
mfululizo lango la JKT, bao pekee la Samwel Kamutu katika dakika ya 45,
liliendelea kubaki hadi dakika ya 90.
Maana yake hicho ni kipigo cha kwanza Azam
FC kupokea katika msimu huu.
0 COMMENTS:
Post a Comment