December 7, 2014

SSERUNKUMA AKIWA NA RAIS WA SIMBA, EVANS AVEVA SIKU ALIYOSAINI MKATABA.
Mshambuliaji mpya wa Simba, Danny Sserunkuma raia wa Uganda tayari ametua jijini Dar es Salaam.

Sserunkuma yuko kwenye Uwanja wa Chamazi jijini Dar es Salaam akishuhudia mechi ya kirafiki kati ya Simba dhidi ya Mtibwa Sugar.


Mshambuliaji huyo anatarajiwa kuanza kazi kesho rasmi baada ya kusaini mkataba wa miaka miwili kuichezea akitokea Gor Mahia ya Kenya

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic