January 25, 2015

KIKOSI CHA COASTAL MSIMU ULIOPITA
Coastal Union imetumia salamu Yanga baada ya kuitwanga Stand United kwao mjini Shinyanga kwa bao 1-0.


Baada ya mechi hiyo, Coastal Union inashuka dimbani tena Februari 4 dhidi ya Yanga.

Mechi hiyo, Coastal Union itakuwa nyumbani Mkwakwani dhidi ya Yanga.


Katika mechi ya leo, Coastal Union ilimiliki kipindi cha kwanza huku wenyeji Stand wakiamka katika kipindi cha pili, lakini wakashindwa kusawazisha.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic