Mtibwa Sugar wametamba kuwa wataimaliza Simba
kilahisi na kubeba ubingwa wa Kombe la Mapinduzi, keshokutwa.
Simba na Mtibwa Sugar zinakutana kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar, keshokutwa.
Simba na Mtibwa Sugar zinakutana kwenye fainali ya Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar, keshokutwa.
Msemaji wa Mtibwa Sugar, Thobias Kifaru ametamba
kikosi chao kimekamilika kila idara.
“Wakati mwingine watu wajue namna ya
kulinganisha, sasa unafananisha vipi Simba na Mtibwa Sugar? Angalia kwa
takwimu.
“Walinzi bora wako Mtibwa, viungo bora wako
Mtibwa na hata washambuliaji wakali wako kwetu. Sasa Simba watafanya nini?”
alijigamba Kifaru.
Watu waje uwanjani Jumanne, wakishindwa wake
kwenye runinga wao Simba wanavyoteseka.
0 COMMENTS:
Post a Comment