Pamoja
na kutangazwa tuzo mbalimbali kwenye Ballon d’Or leo, pia kilitangazwa kikosi
cha wachezaji 11 bora kwenye nafasi zote 11 uwanjani.
Mchezaji
mmoja tu kutoka Ligi Kuu England ambaye ni Angelo Di Maria wa Manchester United
ndiye alitajwa.
Wengine
wanatokea katika klabu za Hispania, Ujerumani na Ufaransa huku Italia
ikiambulia patupu.
WACHEZAJI
BORA 11 DUNIANI AU KIKOSI NAMBA MOJA BORA DUNIANI CHA FIFA HIKI HAPA.
World XI:
Neuer;
Lahm, Ramos, David Luiz, Thiago Silva; Di Maria, Iniesta, Kroos; Messi,
Ronaldo, Robben








0 COMMENTS:
Post a Comment