January 16, 2015


 Kiungo wa Manchester United, Anderson ameendelea kutanua licha ya kwamba amekuwa akichezea benchi.
Kiungo huyo raia wa Brazil amekuwa hana nafasi katika kikosi cha Louis van Gaal.


Anderson ,26, ameanza katika kikosi cha kwanza katika mechi sita kwa misimu mitatu.

Msimu huu amecheza dakika 20 tu, lakini alionekana akitanua na rafiki yake wa kike katika jiji la Manchester. Raha jipe mwenyewe, eeeh!
Kiungo huyo Mbrazili aliyejiunga na Man United akitokea FC Porto ya Ureno alikuwa akitanua na mrembo huyo mkali akiwa na gari lake aina ya Mercedes Benz lenye thamani ya pauni 200,000.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic