Hadi
sasa ni mapumziko mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Yanga dhidi ya Ruvu Shooting
kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.
Yanga
ndiyo wamepoteza nafasi nyingi zaidi kupitia Simon Msuva, Andrey Coutinho na
Amissi Tambwe.
Mechi
ilitawaliwa na ubabe katika dakika za mwanzo, wachezaji wakisukumana huku
wachezaji wa Shooting wakimvamia mwamuzi kila mara kulalaimika.
Mwishoni,
yaani dakika ya 45 kukiwa na dakika 5 za nyongeza, Yanga walipata kona tano
ambazo hazikuwa na matunda.







0 COMMENTS:
Post a Comment