October 12, 2020

 



BREAKING:SAIDI Ntibazonkiza amesajiliwa ndani ya Klabu ya Yanga akiwa ni mchezaji huru baada ya kukosa timu kwa muda mrefu.


Ntibazonkiza jana, Oktoba 11 alikuwa ndani ya kikosi cha timu ya Taifa ya Burundi ambacho kiliibuka na ushindi wa bao 1-0.

Winga huyo ambayo alipata dili pia ndani ya Klabu ya Vital'O msimu wa 2019 lakini hakupata nafasi ya kucheza kikosi cha kwanza. 

Nyota huyo amesaini dili la miaka mwaka mmoja na nusu kuitumikia Klabu ya Yanga ambayo kwa sasa ipo chini ya Kaimu Kocha Mkuu, Juma Mwambusi.

25 COMMENTS:

  1. Atasubiri dirisha lifunguliwe au vipi, sijaelewa hapo

    ReplyDelete
  2. Na wewe utasubiri ili uelewe.........

    ReplyDelete
  3. Huyu GSM alisema hasajili wachezaji ambao ni huru (free agents), kwamba yeye anasajili wachezaji kwa kuvunja mikataba yao kwenye timu kubwa kubwa. Vital'o ilikuja Bongo ikapigwa 6-0, na huyo mchezaji aliyesajiliwa na GSM alikuwa anakosa namba kwenye kikosi kilichobugizwa mabao na Simba! Mwenye macho...

    ReplyDelete
  4. Wajinga hao kandambili achana nao GONGOWAZI aka vyura

    ReplyDelete
  5. Duu hapa yanga tumepigwa tayar,,hawa tulionao tu hawajaonyesha kiwango kizur alafu wanatuletea huyu tena ambae alikua anakaa bechi kwenye timu ya vitalo kwel atatusaidia

    ReplyDelete
  6. Usajili wakimataifa huo, hahaaaa eti wanategemea ubingwa kwa mtindo huu.

    ReplyDelete
  7. Mchezaji akiwa hana timu kwa muda mrefu anaruhusiwa kucheza muda wowote atakapopata timu

    ReplyDelete
  8. Ana miaka mingapi?Mbona hamsemi?Alichezea Vitalo kutokea mwaka gani?Utopolo kwa wachezaji wa mafungu ni wanjanja haswa.

    ReplyDelete
  9. Ameanza kuchezea Vitalo 2003.Jaza mwenyewe. Alikuja na Vitalo iliyofungwa goli 6 na Simba.

    ReplyDelete
  10. Utopolo poleni lkn ndo maisha ukata unawatesa mpaka mdhamini wenu naye Ni kabwela. Fungeni nakuomba Yusuph manji arudi uwiii mtakonda sana tu na hao wapesa za msimu

    ReplyDelete
  11. Chizi sio lazima aokote makopo mchezaji kasajiriwa na yanga mashoga wa mikia aka wavaa madera midomo juu utazani waimba taarab polen sana

    ReplyDelete
  12. Akianza kutupia kama jana ndio mtaelewa

    ReplyDelete
    Replies
    1. 😄😄😄 povu Hilo, hampendi ukweli utopolo

      Delete
  13. Sifahamu kama tupo serious kwelikweli na timu yetu, kwa sasa sina la kuongeza, nasubiri mechi kumi kwanza ndio nitakuwa na fursa ya kukijadili kikosi chetu, kadri siku zinzosonga mbele nahisi uwezo wa kupambana na kufikiri pia unashuka

    ReplyDelete
  14. Wanasajili Yanga wanaolalamika Simba ili kweli ndio Bongo Soka pasua kichwa

    ReplyDelete
  15. Huyu jembe cjui muongo mana huyu jamaa kacheza ligi kuu ya ufaransa, uturuki na nyengine za ulaya anayebisha amtafute mwenyewe YouTube au angalie marudio ya mshike mshike viwanjani ya trh Jana, 12 October

    ReplyDelete
  16. Nmeamn uyu jamaa anatk kuivuruga yanga wkt uyo jamaa alkuw anacheza ndo maaan kaitwa timu ya taif na ndo captain km mnabisha angalien profile yk google andikeni jina lake mtaona profile zke jembee acha kutumika na mikia tushakujua mchambuzi maandazi

    ReplyDelete
  17. Mashabiki wa simba tuendlee kudanganyika

    ReplyDelete
  18. mwandishi unaandika kwa unazi sana. unatia chumvu utadhani mke mwenza.

    ReplyDelete
  19. Thiiimba wivu , Halafu nani aliwambia msajili kwa pupa hapo bado mmoja .Nani aliwambia Hawa viwango vipo chini , Kwanini mliomba mechi hiairishwe mpaka 7th November,hoiiii .Paka shume mchezaji captain na katupia goli la Kiwango , eti ana kaa benchi Vitalo Sasa wenu was Fernabache mbona alikuwa akijiangusha.Mjifunze muache undezi Burundi wanatuzidi uwezo .Hapa Wachezaji wetu wengi Wana rukaruka tu.Ukiangalia Mchezaji mmoja mmoja Burundi na sisi tumeachwa wale hawana hamasa tu cse ya nature/conflict tatizo tunajipaisha tu Nani hapa To Mchezaji anayecheza Kama huyo jamaa kwenye Timu ya Kocha Mrundi Ndayirigije.Ninyi Makocha wekundu mnaojua Sana mbona hamtoki kumfundisha nje tukawaona zaidi ya kukalia Eng/ Swahili eti free header .

    ReplyDelete
  20. Mnakera na hivyo Vingereza Kama vya Single Mama.WANANCHIIIiiii hoyeeeee mtalia Sana mwombeni Hans Pope amdake naye cse January anaingia yule aloingia sub mrefu nywele nyeupe.Cedric Kaze ameisha mlegeza

    ReplyDelete

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic