Deontay Wilder sasa ndiyo
gumzo kwa mabondia wanaoonekana kuwa tishio katika uzito wa juu katika ngumi za
kulipwa.
Amefanikiwa kumchakaza
mpinzani wake Bermane Stiverne kwa pointi katika mechi iliyopigwa kwenye jiji
la Las Vegas, Marekani.
Katika pambano hilo la
ubingwa wa juu wa WBC, alishinda kwa pointi 118-109, 119-108 na 120-107, lakini
kwa uwezo aliuonyesha. Basi wakali wengine wakae chonjo.



















0 COMMENTS:
Post a Comment