February 25, 2015


 Barcelona imefanikiwa kushinda kwa mabao 2-1 katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa hatua ya 16 Bora.

Barcelona imeshinda kwa mabao hayo ugenini dhidi ya wenyeji wake Manchester City huku Luis Suarez akiwa shujaa kwa kufunga mabao yote mawili.

Lionel Messi alipata nafasi ya kufunga mkwaju wa penalti baada ya kuangushwa na Zabaleta katika dakika ya 90 lakini Joe Hart akaokoa, mpira ukamrudia Messi, akakosa.
Sergio Aguero ndiye alifunga bao pekee la Barcelona, akionyesha juhudi binafsi na kufanikiwa kufunga bao tamu kabisa.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic