February 25, 2015

 
Carlos Tevez ameendelea kuwa mtamu zaidi ya Mcharo baada ya kuingoza Juventus kupata ushindi wa mabao 2-1 katika mechi ya kwanza ya Ligi ya Mabingwa hatua ya 16 Bora.
Tevez ndiye alifunga bao la kwanza huku Alvaro Morata akitupia la pili.

Marco Reus alifunga bao pekee la Dortmund waliokuwa ugenini hivyo kufanya mabao yote ya mechi hiyo kuwa yamefungwa katika kipindi cha kwanza.

Tevez alikuwa mwiba kwa mabeki wa Dortmund, hata hivyo walijitahidi kuhakikisha hawafungwi mabao mengi zaidi.

LISTI:
Juventus starting XI: Buffon, Lichtsteiner, Bonucci, Chiellini, Evra, Marchisio, Pirlo, Pogba, Vidal, Tevez, Morata
Juve subs: Storari, Caceres, Ogbonna, Padoin, Pereyra, Coman, Llorente
Borussia Dortmund XI:  Weidenfeller, Piszczek, Sokratis, Hummels, Schmelzer, Gundogan, Sahin, Mkhitaryan, Reus, Aubameyang, Immobile
Subs: Langerak, Ginter, Kirch, Kagawa, Kuba, Kehl, Ramos
Referee: Antonio Mateu Laho





0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic