February 15, 2015


Kocha wa Polisi Moro, Adolf Rishard amewaambia Simba haitakuwa kazi lahisi leo.


Simba inashuka dimbani Jamhuri mjini Morogoro katika mechi ya Ligi Kuu Bara.

Rishard amesema kikosi chake kimejiandaa na ana imani kubwa kuwa wataonyesha mchezo mzuri.


“Tunajua Simba ni timu nzuri, lakini lazima wakubali haitakuwa kazi lahisi. Lengo letu ni kupata pointi tatu,” alisema.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic