February 15, 2015

Jerome Boateng sasa anataka kuwa nahodha wa kwanza mweusi wa timu ya taifa ya Ujerumani.


Beki huyo wa kati wa Bayern Munich ameonyesha ujasiri huo na kusisitiza angependa kuipata nafasi hiyo.

Boateng ambaye alionekana si lolote Man United, tayari amepata mafanikio makubwa kwa kuchukua makombe mawili makubwa zaidi katika soka.

Kwanza ubingwa wa Ulaya akiwa na Bayern Munich na ubingwa wa dunia akiwa na Ujerumani.


Mara kadhaa alipitia katika manyanyaso ya ubaguzi wa rangi tokea akiwa na miaka 11.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic