Runinga maarufu ya mambo ya
michezo ya SuperSport leo itaonyesha moja kwa moja mechi tatu zitakazokuwa
zinachezwa katika muda mmoja.
Mechi ambazo zitakuwa
zinachezwa kuanzia saa 12 jioni ni kati ya Chelsea Vs Burnley itakayoonyeshwa SuperSport
7, Crystal Palace Vs Arsenal itarushwa na SuperSport 3.
Mechi nyingine itakayokuwa
inaanza muda huo ni Swansea Vs Man United ambayo itaonyeshwa na SuperSport 5.
Baada ya hapo, runinga hiyo
itaonyesha moja kwa moja mechi kati ya Man City dhidi ya Newcastle United,
mechi hiyo itaanza saa 2:30 usiku na kurushwa na SuperSport 3.
Saturday 21 February 2015 | ||||||
---|---|---|---|---|---|---|
15:00 | Aston Villa v Stoke | Villa Park | ||||
15:00 | Chelsea v Burnley | Stamford Bridge | ||||
15:00 | Crystal Palace v Arsenal | Selhurst Park | ||||
15:00 | Hull v QPR | The KC Stadium | ||||
15:00 | Sunderland v West Brom | Stadium of Light | ||||
15:00 | Swansea v Man Utd | Liberty Stadium | ||||
17:30 | Man City v Newcastle | Etihad Stadium |
0 COMMENTS:
Post a Comment