February 20, 2015

MEZZ B AKIWA AMEBEBA PICHA YA MSANII MANGWEA WAKATI WA MSIBA WA SWAHIBA WAKE HUYO. MSANII HUYO AMEFARIKI DUNIA LEO KWAO MJINI DODOMA.

Msanii wa Bongo Fleva, Mezz B amefariki dunia kwao mjini Dodoma.


Mezz B amefariki dunia kwa mjini Dodoma na taarifa kutoka katika familia yake zimeeleza alikuwa mgonjwa.


Taarifa kutoka kwa rafiki yake wa karibu amesema Mezz B alikuwa mgonjwa kwa muda mrefu lakini hakueleza alikuwa akiugua nini.

Lakini baadaye mama yake mzazi amethibitisha kwamba alikuwa anasumbuliwa na ugonjwa wa homa ya mapafu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic