February 2, 2015


Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva, amefunguka kuwa hakuna aliyejihakikishia namba katika timu hiyo, hivyo kila mmoja anacheza kuhakikisha anapata nafasi ya kuitumikia timu hiyo katika kiwango kizuri.


Msuva amefunguka kuwa, kwa jinsi ushindani uliokuwepo katika kikosi hicho, hakuna mchezaji hata mmoja aliyejihakikishia namba.

“Kila mmoja anahitaji kujituma ili kuweza kupata nafasi na hatimaye kufikia malengo ya kuisaidia timu yetu, hivyo hakuna mchezaji aliyejihakikishia namba.

“Moja ya malengo yangu ni kuona naisaidia timu yangu kuweza kufanya vizuri na hatimaye kufanikiwa kutwaa ubingwa,” alisema Msuva.
mwishoo


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic