Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva,
amefunguka kuwa hakuna aliyejihakikishia namba katika timu hiyo, hivyo kila
mmoja anacheza kuhakikisha anapata nafasi ya kuitumikia timu hiyo katika
kiwango kizuri.
Msuva
amefunguka kuwa, kwa jinsi ushindani uliokuwepo katika kikosi hicho, hakuna
mchezaji hata mmoja aliyejihakikishia namba.
“Kila mmoja anahitaji kujituma ili kuweza kupata
nafasi na hatimaye kufikia malengo ya kuisaidia timu yetu, hivyo hakuna mchezaji
aliyejihakikishia namba.
“Moja ya malengo yangu ni kuona naisaidia timu
yangu kuweza kufanya vizuri na hatimaye kufanikiwa kutwaa ubingwa,” alisema
Msuva.
mwishoo
0 COMMENTS:
Post a Comment