February 5, 2015


Mshambuliaji James Rodriguez ameonyesha anaweza baada ya kufunga bao kama lile linalofanana na alilofunga Robin van Persie wa Uholanzi katika michuano ya Kombe la Dunia nchini Brazil.


James amefunga bao hilo katika mechi ngumu ya La Liga ambayo Real Madrid imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Sevilla ambayo imekuwa ikiwasumbua sana.

Real Madrid (4-2-3-1): Casillas; Ramos (Nacho 9), Varane, Marcelo, Arbeloa; Khedira, Kroos; Bale, Rodriguez (Jese 27), Isco (Illarramendi 90); Benzema.
Subs not used: Navas, Hernandez, Carvajal, Borges.
Goals: Rodriguez 12, Jese 36
Booked: Varane, Marcelo, Isco

Sevilla (4-3-3): Beto (Rico Gonzalez 35); Figueiras, Carrico, Kolo, Navarro; Krychowiak, Iborra, Mbia; Deulofeu (Vidal Parreu - 54), Bacca (Iago Aspas 67), Vitolo
Subs not used: Suarez, Andujar Moreno, Arribas, Munoz Munoz
Goals: Aspas
Booked: Figueiras, Carrico, Navarro, Mbia, Vidal Parreu, Vitolo
Referee: Ignacio Iglesias Villanueva
Attendance: 65,500












0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic