February 15, 2015


Mshambuliaji wa Yanga, Amissi Tambwe amesema wangeweza kufunga mabao mengi zaidi katika mechi yao dhidi ya BDF, jana.


Lakini akasisitiza, hata ugenini Botswana, bado wana nafasi ya kurekebisha na kufunga mabao mengine.

"Kweli tungeweza kupata mabao mengi zaidi na lingekuwa jambo zuri.

"Hata hivyo hatujachelewa, tunaweza kufanya hivi; tukarekebisha makosa na baada ya hapo kufunga mabao hata tukiwa ugenini," alisema Tambwe.

Yanga iliishinda BDF kwa mabao 2-0 katika mechi ya kwanza ya Kombe la Shirikisho, yote mawili yakifungwa na Tambwe.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic