Bondia Floyd
Mayweather ameendelea kujifua kwa ajili ya pambano lake dhidi Manny Pacquiao
watakayezichapa naye Mei 2 Las Vegas nchini Marekani.
Mayweather amekuwa
busy na mazoezi akiendelea huku akibeba vyuma vizito.
Pia amekuwa akifanya
mazoezi ya kuinua mwili mwake huku akionyesha kweli sasa yuko fiti.
Kadiri siku
zinavyosonga mbele, Mayweather ambaye hajawahi kupigwa katika mapambano yake 47
amekuwa akiongeza kasi ya mazoezi.
0 COMMENTS:
Post a Comment