Bale
amekufanya mabao mawili katika mechi ya La Liga dhidi ya Levante.Balepicked up a brace against Levante.
Lakini
wataalamu wengi na hasa wachambuzi wa England wanasema kiungo mchezeshaji wa
Real Madrid, Luka Modric ndiye anayechangia kumrejesha Bale.
Wachambuzi hao wanasema kama Modric atakuwa katika kiwango bora, basi Bale ana nafasi nzuri ya kung’ara.
Wawili
hao, walikuwa wakikipiga Tottenham kabla ya kujiunga na klabu hiyo tajiri zaidi
duniani.
Tokea
Modric alipokuwa majeruhi tokea Novemba, mwaka jana. Bale alionekana kusuasua
kiuchezaji na hasa ufungaji wa mabao.








0 COMMENTS:
Post a Comment