March 12, 2015


Tanzania imepaa na kushika nafasi ya 100 katika viwango vya Ubora vya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa).


Tanzania imepanda hadi nafasi ya 100 baada ya kupanda nafasi saba mfululizo.

Wakati Tanzania iepanda nafasi hizo na kushika nafasi ya 100, Rwanda imezidi kupaa kwa kushika nafasi ya 64 baada ya kupanda nafasi nane.


Uganda nayo imepanda nafasi mbili na kushika nafasi ya 74 huku Kenya ikiendelea kusuasua katika nafasi ya 118.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic