Mchezo
no 91 wa Kombe la Shirkisho barani Afrika (CC) hatua ya 16 bora uliofanyika
mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam, kati ya wenyeji timu ya Young Africans dhidi
ya Etoile du Sahel kutoka Tunisia umeingiza jumla ya sh. 223,135,000.
Jumla ya
watazamaji 36,105 walikata tiketi kuhudhuria mchezo huo, huku VIP A zikikatwa
tiketi 68, VIP B tiketi 869, VIP C tiketi 582, Orange tiketi 1,955 na
viti vya rangi ya Bluu na Kijani tiketi 32,631 ziliuzwa.
Mgawanyo
wa mapato ni VAT 18% sh. 34,037,542.37, Gharama ya tiketi sh. 11,462,000,
Gharama ya Uwanja 15% sh. 26,645,318.64, Gharama za mchezo 15% sh.
26.645,318.64, CAF 5% sh. 8,881,772.88, TFF 5% sh. 8,881,772.88 na Young
Africans 60% sh. 106,581,274.58.
0 COMMENTS:
Post a Comment