April 20, 2015

Sikia hii kali, Kocha Jose Mourinho aliambiwa kiungo mrefu wa Man United, Marouane Fellaini hatacheza mechi dhidi ya Chelsea.



Kisa, mfungua mlango wa hoteli alimueleza Mourinho kwa Fellaini alikwenda kuchukua tiketi za kuingia katika mechi hiyo kwa mmoja wa wachezaji wa Chelsea.

Kumbe, mfungua mlango huyo wa hoteli alijichanganya kwa kuwa mtu huyo alikuwa ni pacha wa Fellaini aitwaye Mansour.

Baadaye Mourinho akaingia kuingia kwenye mtandao na kugundua yule mhudumu wa alijichanganya.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic