Simba
imefanikiwa kuongeza mkataba wa miaka mitatu na nahodha wake Hassan Isihaka.
Isihaka ambaye awali alielezwa kukataa kusaini akitaka apewe dau kubwa, jana amesaini mkataba huo mbele ya Rais wa Simba, Evans Aveva.
Kamati
ya usajili ya Simba chini ya Mwenyekiti Zacharia Hans Poppe na Kassim Dewji ‘Gwiji’
ndiyo ilisimamia zoezi zima la usajili.
0 COMMENTS:
Post a Comment