May 7, 2015



 Ingawa ni mazoezi lakini ushindani mkali kati ya beki Mganda, Juuko Murishid dhidi ya Mghana, Aboagye Nelson haikuwa kazi ndogo.

Katika mazoezi ya Simba kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu jijini Dar es Salaam (UDSM), Aboagye ambaye anafanya majaribio Simba akiwaniwa kusajiliwa, alikuwa akijaribu kuonyesha uwezo wake kwa kuwatoka mabeki mara kadhaa.

Hali hiyo ilionyesha kutokubalika kwa Murishid, ambaye alikuwa akipambana naye vilivyo utafikiri ni mechi.

Hali hiyo iligeuka kuwa burudani kwa wengine huku Mghana huyo naye akionekana kuwa mbishi ile mbaya.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic