Mshambuliaji
wa Yanga, Simon Msuva amekosa penalti waliyopata Yanga katika kipindi cha pili
baada ya kupaisha bonge ya ‘mnazi’.
Acha
hayo yote, burudani ilikuwa zaidi kwa Geofrey Mwasyuya na Deus Kaseke ambao
walicheza vizuri katika mechi ya leo.
Uwezo
waliouonyesha wawili hao kwa kushirikiana na Malimi Busungu, imeonyesha Yanga
inaweza kuwa na kikosi bora zaidi hapo baadaye.
SC Villa walionekana wako fiti, lakini Yanga walishirikiana na kucheza kwa kuelewana zaidi.
PICHA NA SUFIAN MUHIDIN.
0 COMMENTS:
Post a Comment