![]() |
| KHAN (KUSHOTO) AKIWA NA MAHMOOD WAKIFURAHIA DIGRII ZAO... |
Pamoja na Khan ambaye ni raia wa Uingereza,
chuo hicho pia kimetunuku digrii mchezaji kriketi maarufu nchini humo Sajid
mahmood.
Wawili hao wametunukiwa kutokana na mchango
wao katika michezo, utaratibu ambao umekuwa ukifanywa na vyuo mbalimbali.










0 COMMENTS:
Post a Comment