Nani alikudanganya Athumani Iddi ‘Chuji’ ni mpishi
uwanjani tu ili aisaidie timu ishinde?
Hata anapokuwa
nyumbani ni mpishi na muweka viungo na msosi akiupika, weee!
Mara nyingi
Chuji amekuwa akijipikia mwenye katika kikosi cha MWadui FC kama picha
inavyomuonyesha akikaangiza kuku.
Ila anaporejea
jijini Dar es Salaam ambako familia yake imeweka makazi, anamuachia kazi hiyo “mama mwenye
nyumba”.
0 COMMENTS:
Post a Comment