Kocha Thomas Tuchel ameanza na mguu mzuri kwa B
Borussia Dortmund baada ya kikosi chake kuibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi
ya Borussia Monchengladbach katika mechi ya Bundesliga.
Dortmund imekuwa na msimu mbaya uliopita hadi
kusababisha kocha wake mwenye mafanikio zaidi Jurgen Kloop kuachia ngazi.
Lakini Shinji Kagawa na wenzake, wameonyesha wamerudi upya
baada ya ushindi huo mnono.
0 COMMENTS:
Post a Comment